Teen Talents Tanzania inawakaribisha vijana wote wanaopenda kukuza na kuendeleza vipaji vyao.

Tuesday, May 22, 2012

SAMMY AKITANGAZA KAMPUNI YAKE KUPITIA MAVAZI YAKE ANAPOKUA KATIKA SHUGHULI TOFAUTI ZA KILA SIKU,ANAPENDELEA KUBUNI VAZI LAKE KWA KUWEKA LOGO YA KAMPUNI YAKE KATIKA TASNIA YA MITINDO.



Hii ni namna mojawapo ya jinsi anavyotumia ubunifu kuitangaza kampuni yake.



Hili ni vazi lake alilopangilia siku ya leo na nyuma ya hicho ki top cheupe ndio kuna logo ya kampuni



Sammylycious (Samira) wengi wanapenda kumuita Mama TeenTalents katika Pozi tofauti na kivazi chake alichobuni yeye mwenyewe.





No comments:

Post a Comment