Teen Talents Tanzania inawakaribisha vijana wote wanaopenda kukuza na kuendeleza vipaji vyao.

Thursday, May 31, 2012


UNAHITAJI KUIFAHAMU TEEN TALENTS CREW?? 
 HAWA HAPA!


Sammy (Managing Director)




Ahmed (IT Coordinator)


Hamida (Secretary & Director P.A)


Ally (Sales Manager)


Salwa (Make up Artist)


Felix (Production Officer)


Yvone (Dancers Coordinator)


Nicholaus (Events MC)


Sally (Models coordinator)



Ichy Sigera (Marketing Manager)



Audio Producers From (Kazione Records) & (Priceless Media)
As Judges



Mikey (Bloger)



Sammy  & Justin


Ahmed  & Salwa


Felix & Yvone


Felix & Hamida


PICHA ZA CREW KATIKA MIKUTANO NA KAZI TOFAUTI















THIS IS OUR CREW MEMBERS & SOME OF OUR WORK.






OUR COMING SOON TV SHOW!!!!!!




This show is about Talents, Creativities, Challenges, Dreams & Goals!

Teen Talents Tanzania
Empower Talents Empower Youth!!!!

Wednesday, May 30, 2012

MODELS AUDITION LEADERS CLUB ON  28TH MAY



Director Teen Talents akimuuliza maswali mshiriki.


mshiriki akipokea mike ajibu maswali


Mshiriki Mwingine akiulizwa maswali


Mshiriki akijibu swali lake.


Mshiriki akijitetea kwa kujibu swali


Mshiriki akionyesha utembeaji wa model.


Director akimpa chemsha bongo mshiriki


Mshiriki akijibu chemsha bongo kwa kutumia vitendo.


Director akimuelekeza kitu mshiriki.


Mshiriki akijibu swali.


Hapa akionyesha jibu la swali aliloulizwa kwa vitendo.


Mshiriki akijibu swali


Mshiriki


Mshiriki akijitetea baada ya kuulizwa swali.


Mshiriki akijaribu kuonyesha kipaji chake.


Mshiriki akijaribu kuonyesha tangazo la mziki kuashiria teen talents.


Mshiriki akiulizwa swali.


Mshiriki katika pozi.



Mshiriki akiulizwa swali.


Mshiriki akirudi kuketi baada ya kuulizwa swali.


Washiriki katika picha ya pamoja.


WASHIRIKI KATIKA PICHA ZA PAMOJA NA DIRECTOR TEEN TALENTS.









TEEN TALENTS TANZANIA INAKUZA VIPAJI
NA KUKUPA MWANGA WA MAISHA YAKO
 WEWE KIJANA.




Tuesday, May 29, 2012

FOOTBALL UNDER 14 AUDITION IN LEADERS CLUB 28TH MAY



Director (sammy) na refa (ahmed) wakikaribisha wachezaji kabla ya mechi kuanza.


Refa akiongozana na wachezaji


refa akielekeza wachezaji jinsi ya kujipanga


Timu (A) wanajiita Tanzania Kids FC.


Tanzania Kids Fc,Director na refa Katika picha ya pamoja.



Timu (B) Wanajiita ABC.


ABC na Director TeenTalents (Sammy) katika picha ya pamoja.


Timu zote mbili Tanzania Kids Fc na ABC katika picha ya pamoja na Director TeenTalents .


Kabla ya kuwaruhusu wachezaji kwenda kupumzika kwenye seat zao kabla ya mechi kuanza, Refa Ahmed aliwapa changamoto ya kupiga dana dana 50 na mshindi atajichukulia elf 4.

BAADA YA CHANGAMOTO KUTANGAZWA WACHEZAJI WALIANZA ZOEZI KAMA IFUATAVYO.






Mshindi alitokea ABC.

BAADA YA DANA DANA WACHEZAJI WALIKARIBISHWA KUKETI NA KUFANYA MAHOJIANO NA TEEN TALENTS CREW,
Lengo lilikua kujua changamoto gani wanazopata,nini malengo yao katika mpira na elimu na wanatarajia nini??


Wachezaji wa tanzania kids fc na mashabiki wao.



Wachezaji ABC na kocha wao hapa walibadilisha jezi kwa mda madai yao zisichafuke kabla hawajaingia uwanjani wasafi.com men.


Refa (Ahmed) akipanga jukwaa la wachezaji mpira na mashabiki.

Ahmed zain ni IT coordinator wa TeenTalents Tanzania kwa siku hii alisimama kama refa.


MAHOJIANO YALIANZA KATI YA TEEN TALENTS NA WACHEZAJI HAWA WADOGO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 14.

Lengo ni kutambua uwezo wa fikra zao na vipaji vyao.






Teen talents iligundua mengi kutoka kwa watoto hawa uwezo wa akili zao, vipaji vyao, malengo yao na nini kinawapa vikwazo?

MECHI ILIANZA KATI YA ABC  NA TANZANIA KIDS FC.


Teen Talents Crew Ikiangalia Mechi.
Kuanzia kushoto mwanzo ni felix (Production Officer) Sammy (Director) Hamida (Secretary) mwisho kabisa Salwa (Make up artist)






MAPUMZIKO


Tanzania Kids Fc Team



ABC Fc Team.


KIPINDI CHA PILI



MECHI ILIIISHA ABC WALIIBUKA WASHINDI WA MAGOLI MATATU BILA.

KILICHOFUATA NI MAJONZI KWA TANZANIA KIDS FC NA HASIRA ZA MICHEZO KAMA IFUATAVYO KATIKA PICHA.


Wachezaji walianza kulia.


Director akimbembeleza na kumpa moyo mchezaji wa tanzania kids fc aliposhindwa kujizuia na kulia sana kwa kuchapwa goli 3 - 0.


Baada ya hapo aliteta nao na kuwapa moyo zaidi.




Director akiwasihi kuongeza juhudi na akimpa pongezi kocha wao kua na wachezaji wenye nia na mapenzi na timu yao kiasi kwamba wana uchungu pale wanaposhindwa.


baada ya hapo walifurahi sana na kupata moyo majonzi yakaisha kwa ishara ya umoja na furaha walipeana tano na Director kwa pamoja.


BAADA YA HAPO DIRECTOR ALIWAFATA NA ABC FC KUWAPONGEZA KWA KAZI NZURI.


Wakimsikiliza kwa makini.


Wachezaji wakitoa asante kwa kushiriki.


Baada ya Mahojiano nao walitoa Tano za pamoja Ishara ya ushindi!

HAIKUISHIA HAPO DIRECTOR ALIWAKUSANYA WACHEZAJI WOTE KUWAPATANISHA NA KUWAELEWESHA ULE ULIKUA NI MCHEZO TU WANAOHUDHUNIKA WASI HUDHUNIKE NA WALIO NA FURAHA WAFURAHIE PAMOJA NA WENZAO.




Magoli kipa wa timu zote mbili.
Haya peaneni mikono nyinyi watoto wa baba mmoja taifa moja na mama yenu mama TeenTalents.


walipongezana


waliendelea kupongezana.


Wakaona Mikono pekee haikutosha wakakumbatiana na kupeana pongezi.

MWISHO
ilikua siku nzuri sana na ilipendeza kuona watoto wadogo kama hawa wana vipaji na wanajua kuvitumia kwa nidhamu na upendo wa hali ya juu!!

watoto hawa wanahitaji udhamini wa jezi,mipira na viatu..... ili waendelee kukuza vipaji vyao
kutokana na malalamiko yao kua hivyo ndio vikwazo walivyo navyo kwa sasa.

kwa mawasiliano zaidi + 255 658 304 488 au teentalents@gmail.com


PAMOJA SISI NA WEWE TUNAWEZA!!

TEEN TALENTS TANZANIA
EMPOWER YOUTH EMPOWER TALENTS!!.