Teen Talents Tanzania inawakaribisha vijana wote wanaopenda kukuza na kuendeleza vipaji vyao.

Saturday, August 11, 2012


VIJANA NA MAENDELEO 

Mwanadada Happyness Maira meamua kuwa mjasiliamali. jamani karibuni sana dukani kwetu
SLIP WAY DUKA no. 33 mje mtuchangie tuna vitu vingi vizuri sana, nguo za asili, mikoba ya zanzibar, nguo za zimbabwe, vikapu, vinyago, table mats, earrings, necklaces, viatu vya kimasai ni vingi siwezi kumaliza kwa kuvitaja. KARIBUNI SANA


Happyness Maira


Dukani kwa Happyness Maira Slipway Duka no.33


Happyness Maira Anawakaribisha Sana Dukani Kwake Mkajipatie Vitu Vizuri Na Kwa Bei Poa.



No comments:

Post a Comment