
Wednesday, June 20, 2012
Tuesday, June 19, 2012
Friday, June 15, 2012
ALICHOSEMA DOGO JANJA “Uonevu na Dhuluma Ndivyo vilivyonichosha Kuishi Dar es Salaam.”

Siku moja baada ya Dogo Janja kudaiwa kufukuzwa Tip Top Connection, ukweli halisi kuhusiana na uamuzi huo umewekwa wazi na yeye mwenyewe.
Sababu zilizotajwa na Tip Top Connection ni kwamba Dogo Janja alilewa sifa na kuwa mtoro shuleni.
Kwa mujibu wa interview (ya pili kufanyiwa baada ya kipindi cha Amplifaya cha jana) tuliyofanya naye kwa simu saa moja asubuhi leo (June 14) akiwa stand kurejea nyumbani, uonevu na dhuluma ndivyo vilivyomchosha kuishi Dar es Salaam.
Anasema tangu aje Dar es Salaam hajawahi kusaidiwa chochote na Madee zaidi ya mambo ya muziki pekee huku kula, malazi na ada ya shule vikifanywa na rafiki yake Madee aitwaye Abdallah Doka ambaye (Dogo Janja) alikuwa akiishi kwake.
Anasema kutokana na ngoma zake kujipatia umaarufu alikuwa akipata show nyingi nchini na zote alikuwa halipwi chini ya milioni moja.
Kilichokuwa kinamsikitisha anasema ni kulipwa hela kidogo isiyozidi laki mbili na hivyo kumfanya aishi kwa tabu licha ya kuingiza hela nyingi za show.
Tuesday, June 12, 2012
“DAR CITY BOYZ (DCB)”
It's that summertime, everything is good. What follows is collaboration
from two different places. A Club Joint, for party people and all fans who
enjoy great music. The Song is called tonight and J-Ryder joined with Dar City
Boyz (DCB) which comprises of Big Flow Santanna, Imma, and Lil Harsh to
complete the song. We greatly appreciate and thank all for your support on this
song. We have a great feeling it's going to reach far and also taking the
Tanzanian Music to the next level.
Peace J-Ryder
Artist: J-Ryder Feat. Dar City Boyz (DCB) Song Name: Tonight
Producer: J-Ryder Genre : Electronic/Dance Vocals : Dar City Boyz (DCB),
Recorded at Marshalz Studios (India) Mixed & Mastered by J-Ryder in Vantaa,
Finland
Click this link to download the track. http://hu.lk/ne1t9rmbx90e
(DCB)
Teen Talents Tanzania No.1 Youth Blog
Friday, June 8, 2012
TEEN TALENTS TUNAHITAJI MODELS
Kama uko tayari fika leaders club kila jumamosi
kwa usahili
au wasiliana nasi kupitia +255 658 304 488
pia
unaweza kutuma picha zako na contacts zako kupitia
Email : teentalents@gmail.com
Thursday, June 7, 2012
THANK YOU “BE NICE TO EARTH”
FOR SHOWING
APPRECIATION TO OUR DIRECTOR
FOR SHOWING
APPRECIATION TO OUR DIRECTOR
(Sammy) Teen Talents Tanzania Director
Sharing happiness with
kids under 15 after they fail a football match and started to cry Sammy gave
them hope and courageous which made them happy and smile again. We thank you “BE
NICE TO EARTH” for this cover and for appreciation her work, her heart and her
carrying. We also thank you so much for the cover and beautiful words
Monday, June 4, 2012
TALENTS RECRUITMENT LEADERS CLUB JUNE 2ND 2012
(Ally)
TeenTalents Sales Manager Alifungua kwa kutoa intro about TeenTalents.
Baada ya Intro alimpisha presenter aendelee.
(Sammy)
Presenter akifungua kwa kuanza na jingle ya teen talents iliyochezwa na dancers.
VIDEO YA JINGLE NA DANCERS.
Alianza huyu.
Kisha alimalizia huyu
BAADA YA HAPO WALIFATA MUSICIANS KUTOA FREE STYLES
NA KUONYESHA MAUJANJA YAO
Muite Jigga wa Bongo Joh!
Huyu jamaa ni mwana Hip Hop!
Muite Nikki Minaj
Dada anaimba Hip Hop, R & B na Pop
Muite mzee wa Punch jamaa ana punch za kufa mtu.
BAADA YA FREE STYLES ILIFUATIWA NA DANCERS
Subscribe to:
Posts (Atom)